Sunday, November 27, 2016

Wema kurudi mahakamani

x |Ñ:X ÿÿÿÿ ÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÈ  PÐý èá OK text/html UTF-8 gzip (U èá ÿÿÿÿ Sun, 27 Nov 2016 12:28:41 GMT   ØeðRexRe`ReÈ4iRe wÑ:X   ÿÿÿÿÿÿÿÿ*3  èá 18 mei wema kurudi mahakamani | Bongo5.com
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/10/928X90.gif

18 mei wema kurudi mahakamani



wemabc1

Aliyekuwa miss mwaka 2006 na mwiugizaji wa filamu Tanzania, Wema Sepetu anatarajia kurudishwa tena mahakamani mei 18 kwaajili ya kusomewa mashata yanayomkabili kwa madai ya kumtukana mwanamuziki Rummy ‘Rais wa Masharobaro’ mnamo April 11 saa 12;38 jioni huko Kinondoni.

 


Kesi hiyo ambayo Wema atakuja kusomewa mashitaka ya awali, hapo mwanzo alikubali mashitaka mbele ya hakimu Maliam Masamalo na karani wake Sharifa Dunia, na kugewa dhamana baada ya kukubali kosa kweli amemtukana na kudai kwamba ni hasira tu .

 

Jiunge na Bongo5.com sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Add a comment

comments

No comments:

Post a Comment