Sunday, November 27, 2016

20 akamilisha party yake new msasani

x “Ñ:X ÿÿÿÿ ÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÿÈ  @ð ë OK text/html UTF-8 gzip p«U ë ÿÿÿÿ Sun, 27 Nov 2016 12:29:05 GMT   ØeðRexRe`ReÈ4iRe Ñ:X   ÿÿÿÿÿÿÿÿu4  ë 20% akamilisha Party yake New Msasani | Bongo5.com
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/10/928X90.gif

20% akamilisha Party yake New Msasani



20_wasanii_wote

Abasi Kinzasa aka 20% Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya ambaye ameshangaza watu kwa kujinyakulia tuzo tano kwa nyimbo mbili, katika kinyanyiro cha Kili Music Award. hii ilikuwa ni moja ya Party yake iliyofanyika pale New Msasani karibu na ubalozi wa Marekani April 15, kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpigia kura.

Mwanamuziki huyo aliweza kuwaonyesha pia kwamba hayupo ‘Fit’ katika kuimbaji na kutunga  tu, bali kila kona hata katika mambo ya ‘Perfomance’ jukwaani yaani anakimbiza.  Pi aliweza kuimba wimbo amabao ulikutanisha wasanii wote ambao walikuja eneo hilo, hakika ilikuwa burudani zaidi, kwa video zaidi  ya usiku huo ingia kwenye Bongo5 video ujionee.

20_Stopper

Mkali mwingine toka Arusha ama ukipenda unaweza kupaita A-Town, anaitwa Stopper na nyimbo yake mtu 3 ndani ya staili moja.

20_stejini

 

20_Pnc__Ney

Mwanamuziki PNC aliyetamba kipindi kileee, naye alikuwepo lakini zaidi alikuwepo pamoja na Ney wa Mitego katika jukwaa moja, hakika ilikuwa ni usiku wa kuvutia kwa mashabiki.

20_man_water

Man water akaamua mzingo ausimamie mwenyewe…………………….

 

 

Jiunge na Bongo5.com sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Add a comment

comments

No comments:

Post a Comment