Sunday, November 27, 2016

adam juma

cript'; var useSSL = 'https:' == document.location.protocol; gads.src = (useSSL ? 'https:' : 'http:') + '//www.googletagservices.com/tag/js/gpt.js'; var node = document.getElementsByTagName('script')[0]; node.parentNode.insertBefore(gads, node); })(); end 2015 code --> Adam Juma asema anataka kumtengeneza msanii mwingine asimame kama Diamond | Bongo5.com
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/10/928X90.gif

Adam Juma asema anataka kumtengeneza msanii mwingine asimame kama Diamond



Muongozaji wa video za muziki Tanzania, Adam Juma wa Next Level anatamani kumtengeneza msanii mwingine mpya atakayefata nyayo kama za Diamond kimafanikio.

Adam Jumaa

Akizungumza na 255 ya XXL ya Clouds Fm, AJ amesema ndoto yake kwasasa ni kuona anamsimamisha msanii mpya mwenye nyimbo nzuri.

“Natamani kupata ngoma kali, natamani mtu aimbe nyimbo nzuri haijalishi ni msanii gani, sina wigo wa kusema nifanye kazi na msanii flani mkubwa sina msanii mkubwa sina msanii mdogo, naamini saizi nachotaka kufanya kuna mtu ameshatuonesha moyo Diamond alipofikia, the whole entire of Afrika wanamtaka, nataka kumtengeneza mwingine, nataka kumtengeneza mwingine kutoka chini kabisa asimame, kwasababu bado nina ndoto, bado nina vitu kichwani kwahiyo msanii yeyote anayetaka kufanya kazi na mimi anaweza kufanya kazi na mimi.”– Adam Juma

Jiunge na Bongo5.com sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Add a comment

comments

No comments:

Post a Comment