Sunday, November 27, 2016

36 wauwawa kwenye shambulio la ndege ulaya

36 wauawa kwa shambulio kwenye uwanja wa ndege Uturuki | Bongo5.com
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/10/928X90.gif

36 wauawa kwa shambulio kwenye uwanja wa ndege Uturuki



Shambulio la bunduki na bomu kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ataturk uliopo kwenye mji mkuu wa Uturuki, Istanbul limesababisha vifo vya watu 36 na kuwaacha wengine zaidi 140 wakiwa majeruhi.

35C4C9F400000578-3664710-image-a-56_1467162412137

Washambuliaji watatu walianza kushambulia kwa bunduki nje na ndani ya uwanja huo wa ndege usiku wa Jumanne hii na walijipua kwa bomu baada ya kushambuliwa na polisi. Waziri Mkuu, Binali Yildirim amesema kuwa dalili za mwanzo zinaonesha kuwa kundi la Islamic State limehusika na shambulio hilo.

35C3FF8B00000578-3664710-Crime_scene_investigators_work_next_to_a_body_after_a_suicide_bo-a-25_1467156133998

Picha kutoka kwenye uwanja huo wa ndege zimeonesha miili iliyofunikwa na mashuka huku vioo na mizigo ikiwa imesambaa kwenye jengo hilo.

35C5B0D600000578-3664710-image-a-1_1467183000399

Rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdogan amesema shambulio hilo litumike kwa dunia kuwekeza nguvu kubwa katika kupambana na makundi ya wanamgambo.

Jiunge na Bongo5.com sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Add a comment

comments

No comments:

Post a Comment